alert - warning

This page has not been translated into Swahili. Visit the Swahili page for resources in that language.

Habari and Vyombo vya Habari: Janga la 4665

Taarifa ya Habari na Ithibati

21

Watu walioathiriwa moja kwa moja na dhoruba kali za Julai 25-28 na mafuriko katika jiji la Saint Louis na Kaunti ya Saint Louis wana siku tatu pekee za kuwasilisha maombi kwa ajili ya msaada wa majanga wa Fema.
illustration of page of paper Taarifa ya Habari |
Kituo cha Msaada wa Majanga (DRC) katika Chuo cha Ufundi cha Ranken huko St. Louis kitafungwa Jumatatu, Novemba 7 saa kumi na moja jioni (5pm).
illustration of page of paper Taarifa ya Habari |
Jiji la St. Louis, Kaunti ya St. Louis na Kaunti ya St. Charles zimebakia na wiki moja pekee kutuma maombi ya msaada wa majanga ya FEMA kabla ya tarehe ya mwisho ya Novemba 7.
illustration of page of paper Taarifa ya Habari |
Kituo cha Msaada wa Majanga katika University City kitafungwa kabisa Jumatano, Novemba 2 saa kumi na moja jioni (5pm)
illustration of page of paper Taarifa ya Habari |
Jiji la St. Louis, Kaunti ya St. Louis na Kaunti ya St. Charles zimebakia na wiki mbili pekee kutuma maombi ya msaada wa majanga ya FEMA kabla ya tarehe ya mwisho ya Novemba 7.
illustration of page of paper Taarifa ya Habari |

PDFs, Michoro na Vyombo tofauti vya Habari

Tazama Zana za Vyombo Tofauti vya Habari kwa maudhui ya mitandao ya kijamii na video ili kusaidia kuwasiliana kuhusu msaada wa jumla wa majanga.

file icon
Missouri; FEMA-4665-DR

Report on Preliminary Damage Assessment (PDA) information for FEMA-4665-DR; Missouri as a result of severe storms and flooding during the period of July 25-28, 2022.